Saturday, September 22, 2012

REDDS MISS KIGAMBONI

 Redds miss kanda ya temeke Edda Sylivester katikati akiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa pili Catherine Masumbigana kushoto na Flaviana Maeda kulia mara walipotangazwa kuwa Redds Miss Kanda ya Temeke kwenye fainali iliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA Hall usiku wa kuamkia Leo
Tano bora ya Redds miss kanda ya temeke wakiwa katika picha ya pamojawalipotangazwa kuwa Redds Miss Kanda ya Temeke kwenye fainali iliyofanyika kwenye ukumbi wa PTA Hall usiku wa kuamkia Leo.Picha zote kwa Hisani ya Intellectuals Communications Limited
---
 Edda Sylvester ndiye mshindi wa Redd's Miss Temeke 2012, katika shindano lililofanyika usiku wav kuamkia jana kwenye Ukumbi wa PTA (Sabasaba Hall).

Licha ya kushinda taji hilo Edda amepata nafasi ya kuingia katika kambi ya Redd's  Miss Tanzania na kujinyakulia kitita cha sh.milioni 1 na zawadi zenye thamaini ya  shilingi 500,000.

Edda ambaye ametokea katika shindano la kitongoji cha Kigamboni ataungana  na Flaviana Maeda kutoka Kurasini ambaye amenyakuwa nafasi ya pili na  kujichukulia kitita cha shilingi 800,000.

Mrembo Catherine Masumbigana amechukua mshindi wa tatu katika shindano  hilo na kujinyakulia kitita cha shilingi 700,000. Warembo hao watatu wamepata nafasi ya kuingia katika kambi ya Redd's Miss  Tanzania ambayo itashirikisha warembo 30 ambao watakaa kambini kwa muda  wa mwezi mmoja.

Warembo Jesca Haule ambaye alishika nafasi ya nne amejipatia kitita cha shilingi  400,000 na nafasi ya tano ilienda kwa Agnes Gudluck ambae amejipatia shilingi  300,000.

Washindi wote watatu kila mmoja atajipatia nguo ya kutokea jioni sanjari na  viatu, vikiwa na thamani ya kila mmoja shilingi 500,000 kutoka katika Duka la  kisasa la Mariedo Boutique itatoa gauni la Sh.350,000 na kiatu cha Sh 150,000  kila mmoja kwa washindi hao watatu wa kwanza watakaoshinda.

Warembo wengine ambao walishiriki kutoka katika vitongoji vya  Kurasini,Kigamboni na Chang'ombe ambao ambao wameambualiwa kifuta jasho  cha shilingi 200,000 kila mmoja ni Angela Gasper, Khadija Kombo, Neema  Doreen, Flora Kazungu, Lilian Joseph, Elizabeth Peter, Elizabeth Boniphace,  Zulfa Bundala, Mariam Ntakisivya na Esther Albert.

Katika shindano hilo washehereshaji walikuwa wasanii wanaong’ara katika  luninga, Mpoki wa kundi la Komed Original na Steve Nyerere ambao  walionekana kuvunja mbavu za mashabiki waliyoudhulia shindano hilo. Licha ya kuwepo kwa Mpoki na Steven Nyerere Bendi ya muziki Mashujaa  Wanakibega ambao waliweza kutoa burudani ya nguvu chini ya Rais wao Charles  Baba.

Taji la Redd's Miss Temeke, linashikiliwa na mrembo Husna Twalib. Warembo wa  Miss Temeke wamekuwa wakijifua kwa wiki tatu sasa chini ya ukufunzi wa Leyla Bhanji, ambaye amekuwa akisaidiwa pia na warembo wa miaka ya nyuma wa Miss Temeke akiwemo, Regina Mosha(20020, Hawa Ismail(2003), washiriki wa mwaka jana Joyce Maweda, Mwajabu Juma, Cynthia Kimasha na katika shoo
wamekuwa na Dickson Daud kutoka kundi la THT.


Mbali ya Redd's, Miss Temeke 2012 pia imedhaminiwa na City Sports Lounge,  Jambo Leo, Mariedo Boutique, Global Publishers, Dodoma Wine, Push Mobile,  Mariedo Boutique, 100.5 Times FM, Kitwe General Traders, Fredito Entertainment, katejoshy.blogsport.com na 88.4 Cloud's FM. 


Temeke imewahi kutwaa taji la Miss Tanzania mara tatu, kupitia warembo  Happiness Sosthenes Magesse aka Millen mwaka 2001, Sylvia Remmy Baham  mwaka 2003 na Genevieve Mpangala. Lakini pia imetoa warembo waliowahi  kushika nafasi ya pili na tano bora katika Miss Tanzania kama Jokate Mwegelo,  Irene Uwoya, Irene Kiwia, Queen David, Cecylia Assey, Sabrina Slim, Miriam  Odemba, Ediltruda Kalikawe na Asela Magaka.

IKULU:Rais jakaya kikwete alipoongoza kikao maalum cha baraza la mawaz

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (kushoto), Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa, Waziri wa Kilimo Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa Masuala ya Afrika Mashariki Mhe Samuel Sitta baada ya kumalizika kwa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.
   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa  na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda (kulia kwake) na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (kushoto) kwake wakati wa mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.
Wajumbe katika mkutano maalumu wa Baraza la Mawaziri pamoja na Manaibu Mawaziri na Makatibu wakuu wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete (hayupo pichani) alipokutana nao Alhamisi Septemba 8, 2012 katika ukumbi wa Mikutano wa Benki Kuu jijini Dar es salaam.

Colts fan gets his dying wish: Special access to this Sunday’s game

Danny Webber and Heritage House activity director Myranda Hartwell. (Heritage House, via IndyStar.com)
Danny Webber, a terminally ill 74-year-old man from the Indianapolis area, has asked for and received a simple last wish: Tickets to this Sunday's game between the Indianapolis Colts and the Jacksonville Jaguars.
Webber, who is suffering from prostate cancer that has spread to his lungs and spleen, will attend the game at Indianapolis' Lucas Oil Stadium through Heritage House, the senior community where he lives in Greensburg, Ind. Heritage House's dietary manager got the tickets through people she knows at a local bank.

"This one will be very special …" Webber said in a Thursday phone interview.
His voice cracked with emotion as he tried to finish the sentence.
"… because this will be the last one I ever see."
The Colts were told of Webber's wish on Friday, and they quickly moved to make his experience better. He will not sit in the 500 level as was originally planned -- now, he will have pregame sideline access and VIP status in the club lounge. Webber and his companions will also have some of the best seats in the house for the game.
"He's one of the first dreams we're helping to fulfill," said Heritage House activity director Myranda Hartwell, who will attend the game with Webber. "You can see how much better it makes him feel."
Hartwell said that Webber is one of the staff's favorite residents.
"He's an amazing guy," Hartwell told Yahoo Sports' Eric Adelson. "I was on vacation when he came in. You have to meet this guy. You walk into his room and you can tell he's a gentle, loving soul. He's a kid at heart. He's always been a people person. He's a veteran. Always wanted to help people."

Webber has been a Colts fan since the 1950s, back to the organization's Baltimore days, and he would love to get an Andrew Luck autograph. Somehow, we think the Colts organization will come through on that request.
"[It's] very obvious when you walk into his room," Hartwell said of Webber's Colts fandom. "It's everywhere. We had a Colts tailgating. He comes down sporting all of his blue. He began telling me of his love for the Colts."
Webber has been invited to a tailgating party, and though Hartwell told Adelson that she believes there are those more deserving, Webber knew he wanted to take her.
"Even yesterday, I still can't believe this," she said. "I don't think I'll believe it when I'm sitting in the stands."

Colts fan gets his dying wish: Special access to this Sunday’s game

Danny Webber and Heritage House activity director Myranda Hartwell. (Heritage House, via IndyStar.com)
Danny Webber, a terminally ill 74-year-old man from the Indianapolis area, has asked for and received a simple last wish: Tickets to this Sunday's game between the Indianapolis Colts and the Jacksonville Jaguars.
Webber, who is suffering from prostate cancer that has spread to his lungs and spleen, will attend the game at Indianapolis' Lucas Oil Stadium through Heritage House, the senior community where he lives in Greensburg, Ind. Heritage House's dietary manager got the tickets through people she knows at a local bank.

"This one will be very special …" Webber said in a Thursday phone interview.
His voice cracked with emotion as he tried to finish the sentence.
"… because this will be the last one I ever see."
The Colts were told of Webber's wish on Friday, and they quickly moved to make his experience better. He will not sit in the 500 level as was originally planned -- now, he will have pregame sideline access and VIP status in the club lounge. Webber and his companions will also have some of the best seats in the house for the game.
"He's one of the first dreams we're helping to fulfill," said Heritage House activity director Myranda Hartwell, who will attend the game with Webber. "You can see how much better it makes him feel."
Hartwell said that Webber is one of the staff's favorite residents.
"He's an amazing guy," Hartwell told Yahoo Sports' Eric Adelson. "I was on vacation when he came in. You have to meet this guy. You walk into his room and you can tell he's a gentle, loving soul. He's a kid at heart. He's always been a people person. He's a veteran. Always wanted to help people."

Webber has been a Colts fan since the 1950s, back to the organization's Baltimore days, and he would love to get an Andrew Luck autograph. Somehow, we think the Colts organization will come through on that request.
"[It's] very obvious when you walk into his room," Hartwell said of Webber's Colts fandom. "It's everywhere. We had a Colts tailgating. He comes down sporting all of his blue. He began telling me of his love for the Colts."
Webber has been invited to a tailgating party, and though Hartwell told Adelson that she believes there are those more deserving, Webber knew he wanted to take her.
"Even yesterday, I still can't believe this," she said. "I don't think I'll believe it when I'm sitting in the stands."

Wednesday, September 19, 2012

UNENE WA KUPINDUKIA UTAMWOKOA RONALD POST NA SINDANO YA SUMU?


 Post
 Kitanda cha kufania mauaji
 
 Mfungwa mwenye kitambi
 Waandishi wa habari wakikagua chumba ckabla mfungwa hajaletwa
 
 Mfungwa akiandaliwa tayari kwa kuuwawa

 
 dawa ya sumu ikiwa tayari (lethal injection)

 
 Muuaji (executioner) akiweka sumu katika mwili wa mfungwa

  Vifaa vinavyotumika
 
 
Ndugu Wakiomba Mungu Muujiza utokee ili ndugu yao asiuwawe
 Ndugu wakichukua maiti wao baada ya kuuwawa

Wanasheria wa mahabusu  mwenye uzito wa paundi 480 anayesubiri kuuwawa kwa kudungwa sindano ya sumu katika gereza moja huko Ohiyo marekani katika wamesema kwamba  mteja wao ana uzito mkubwa sana na isingefaa kuuwawa.
"Hakika, kutokana na hali yake ya kipekee kimwili na matibabu kuna hatari kubwa kwamba jaribio lolote la kutaka kumuua sasa litamfanya apatwe na maumivu makali ya kimwili na kisaikolojia. Ronald Post, mwenye miaka  53, ambaye alikuwa na hatia ya kumpiga  risasi hadi kufa karani wa hotelini Helen Vantz miaka 29 iliyopita.

Post, ambaye anatakiwa auwawe kwa sindano ya sumu (lethal injection) Januari 16, 2013, anasema kwamba mauaji yake yatakukutana matatizo kadhaa, ikiwa ni pamoja na ugumu wa kupata kwa urahisi mshipa wa damu kwa ajili ya sindano ya mshipa na uwezekano kwamba kwa uzito wake kawaida angeweza kuvunja taratibu zinazotumika  katika mchakato wa kumuuwa.

Katika sheria za magereza ya  Ohio mfumo wa kutekeleza adhabu ya kifo hutegemea sindano ya sumu

Jimbo la Ohiyo linatajwa kuwa la kwanza kuwa na watu wenye vitambi zaidi Marekani wakifuatiwa na Kansas. Asilimia 29.6 ya wakazi wa Ohiyo wanaelezwa kuwa na uzito wa kupindukia.
Msemaji wa Post Bw Joseph Wilhelm amekiri kuongezwa manjonjo juu ya afya ya Bw Post na kuendelea kusema kwamba maisha yake ni zaidi ya unene wake hivyo kutokumuua kwa sindano ya sumu kungekuwa na maana zaidi.

Vyombo vya habari vya Ohiyo vimeripoti kwamba, hii ni kesi ya kwanza kwa mtuhumiwa kukwepa kifo kwa sababu za unene.

Mwaka 1994, shirikisho jopo la mahakimu katika Jimbo la Washington lilitoa uamuzi kuwa Mitchell Rupe  aliyekuwa na uzito wa paund 400 alikuwa mzito  mno kwa kunyongwa na badala yake  alihukumiwa kifungo cha maisha jela. Hata hivyo, Rupe Alifia Jela mwaka 1986

Hata hivyo, mahabusu wengine waliojaribu kutumia kigezo cha uziko ili kukata rufaa hawakufanikiwa, kama vile katika kesi ya Richard Cooey  mwaka  2008 na Christopher Newton mwaka 2007. Hata hivyo, wafungwa hawa walikuwa uzito wa paund 200 pungufu ya Post.

Newton, ambaye alikuwa  wa Ohio, kuuwawa kwake kulichelewa kwa saa mbili kwakati wafanyakazi wa gereza wakifanya jitihada za kupata  mshipa kwa ajili ya kuingizia sindano ya sumu.

Marekani  ni kati ya nchi  20  duniani kati ya nchi 198 zilizoidhinisha rasmi adhabu ya kifo, kulingana na Amnesty International. Mwaka 2011 Marekani ilinyonga afungwa 43 na kati ya hao watano ni wa jimbo la Ohio.
China ndiyo nchi inayoongoza kwa kwa kutoa hukumu ya kifo zaidi duniani ingawa idadi kamili haijulikani.  Miongoni mwa mataifa ambayo taarifa ya idadi yao ya kunyongwa, Iran inaongoza orodha, na kwa uchache watu 360 waliuwawa mwaka 2011
Taarifa hii imetafsiriwa na Bahati Fortunato.

SYRIA KUTUMIA SILAHA ZA KEMIKALI KAMA NJIA YA MWISHO YA KUOKOA UTAWALA WA ASSAD (Tahadhari - baadhi ya picha zaweza kuleta usumbufu kwa kwa baadhi ya watazamaji)


Syrian government forces take position in an empty building in the Saif al-Dawla district of Aleppo


wACHIMBA mADINI WA mARIKANI HUKO AFRIKA YA KUSINI WAREJEA KAZINI



Wachimba migodi wa kampuni ya Lonmin nchini Afrika Kusini, wamekubali kurejea kazini siku ya Alhamisi.
Wachimba migodi hao walijawa na furaha huku wakishangilia walipoambiwa kuhusu pendekezo la asilimia 22 la nyongeza ya mishahara watakayolipwa.
Lakini shirika la kushughulikia mizozo ya ajira liliambia BBC kuwa lilikuwa linasubiri ikiwa pendekezo la hivi karibuni la mishahara litakubalika au la.
Mwezi jana polisi waliwaua kwa kuwapiga risasi wafanyakazi wa mgodi huo waliokuwa wakigoma kudai mishahara bora na mazingira mazuri ya kazi. Wachimba migodi 34 waliuawa.
Uzalishaji wa madini umeathirika sana kwa wiki kadhaa huku mzozo huo ukisambaa hadi katika migodi mingine.
Tume ya maridhiano iliambia BBC kwamba waakilishi wa wafanyakazi hao, waliwashauri wachimba migodi kuhusu pendekezo la sasa la nyongeza ya mishahara na wala hawakupata pingamizi zozote.
Wafanyakazi hao , walikusanyika katika uwanja mmoja karibu na mgodi wa Marikana kusikiliza hotuba ya waakilishi wao.
Wamekuwa wakidai nyongeza ya mishahara ya dola miatisa thelathini na tano. Kwa sasa wanalipwa kati ya randi 4,000 na 5,000.
''Kilichofanyika leo ni ushindi mkubwa kwa wafanyakazi hawa na watarejea kazini siku ya Alhamisi'' alinukuliwa akisema kasisi mmoja aliyewawakilisha wafanyakazi hao, Joe Seoka.
Pia alielezea kuwa wafanykazi hao watalipwa randi 2,000 kwa kipindi ambacho walikuwa wanagoma kwani hawakuwa wanapokea malipo yoyote.