Wednesday, October 3, 2012
Taswira: Milipuko minne iliyofuatana kwa dakika chache imetokea leo katika Jiji la Allepo Syris na kuuwa watu takriban 40.
Mashambulio hayo yametokea katika eneo linalodhibitiwa na majeshi ya serikali. Mashambulio mawili yametokea katikati mwa mji na lingine nje ya ukumbi wa mji huo.
Picha za televisheni zimeonyesha uharibifu mkubwa huku majengo yakiharibiwa na pia barabara. Miili ya watu inabebwa kwa kutumia blanketi.
Mapigano kati ya majeshi ya serikali na waasi yameongezeka mjini Aleppo katika siku za hivi karibuni na kuugawa mji huo mara mbili.
Wapiganaji wa upinzani walianzisha upya mashambulizi wiki iliyopita katika jaribio la kunyakua maeneo zaidi ya mji huo.
AJALI YA MBALIZI MBEYA KIBAKA APEWA KICHAPO NAYE AFA
Wananchi wakichota mafuta kwenye ajali ya mbeya. Hatari tupu
AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA MBALIZI MBEYA, MAGARI MAWILI YAGONGANA NA KUWAKA MOTO WATU KUMI WARIPOTIWA KUFARIKI DUNIA, MBUNGE WA VITI MAALUM MH.MARY MWANJELWA ALIKUWEMO KATIKA AJALI HIYO NA KATIBU WAKE ATEKETEA KWA MOTO

MAMIA YA WATU WALIOFIKA KUSHUHUDIA AJALI HIYO MBALIZI

WATU WAKIWA WAMEONGEZEKA KUSHUHUDIA TUKIO HILI LA AJALI

HAYA NI MABAKI YA GARI HILI AMBALO NALO LILIUNGUA LOTE

HIVI NDIVYO GARI HILI LILIVYO PINDUKA NA KUWAKA MOTO BAADA YA AJALI


HII NI GARI NYENGINE AMBAYO PIA ILIWAKA MOTO BAADA YA KUGONGANA


HIVI NDIVYO HILI GARI LILIVYO UNGUA MOTO BAADA YA AJALI

FIRE WAKIWA WAMEWAHI ENEO LA TUKIO KWA AJILI YA KUZIMA MOTO HUO

ASKARI WA USALAMA WA BARABARANI WAKIWA WAMEFIKA ENEO LA TUKIO AMBAPO MAGARI HAYO YAMESABABISHA VIFO VYA WATU KUMI.

Basi la Dar Express laungua Moto
Basi la Dar
Express limepata
ajali ya kuungua moto leo asubuhi katika njia panda ya Dar, Arusha,
Tanga (Segera) hakuna
mtu aliyejeruhiwa wala kupoteza maisha. Katika ajali hiyo mizigo yote
iliteketea kwa moto huo ambapo abiria wengi waliokuwamo kwenye gari hilo
walikuwa ni wanafuzi.Picha
na Samweli Mikuza
Subscribe to:
Posts (Atom)