Monday, October 8, 2012

Mtumishi Wa Papa Ahukumiwa Kifungo ha miezi 18 jela





Mtumishi wa zamani wa Papa Benedict amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja na nusu kwa kuiba nyaraka za siri kutoka fleti ya Papa. 

Paolo Gabrieli na Papa Benedict Katika kujitetea mbele ya mahakama ya Vatikani, Paolo Gabriele alisema alifichua nyaraka hizo za siri kwa mwandishi wa habari kwa sababu akitaka kuonesha kile alichosema ni rushwa ovu ilioko katikati ya Kanisa la Katoliki. Msemaji wa Vatikani, Federico Lombardi, alieleza kuwa inavoelekea Papa atamsamehe mtumishi wake.

No comments:

Post a Comment