Wednesday, October 10, 2012

Waziri Mkuu, Mkuu Mizengo Pinda Alipokutana na wajumbe wa Kituo cha

Waziri Mkuu, Mkuu Mizengo Pinda akiwa na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia (TCD) baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake jijini Dar es salaam Oktoba 8, 2012. Wejumbe hao ni viongoazi wa vyama mbali mbali vya siasa nchini.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
 Mwenyekiti wa Tume Ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora Jaji Kiongozi (Mstaafu) Amiri Ramadhan Manento (katikati) akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam leo wakati akitoa muhtasari wa taarifa ya Uchunguzi wa Tume yake kuhusu tukio lililopelekea kifo cha Daudi Mwangosi kilichokea Septemba 2, 2012 kijijini Nyololo. Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa. (Kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mahfoudha.A. Hamid na (kulia) ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Tume hiyo Florida Kazora.
 Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Mahfoudha.A. Hamid  akizungumza wakati tume hiyo ilipokutana na waandishi wa habari leo
Baadhi ya waandishi wa habari walioshiriki kwenye mkutano huo.Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

No comments:

Post a Comment