Waziri Mkuu, Mkuu Mizengo Pinda akiwa na wajumbe wa Kituo cha
Demokrasia (TCD) baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake jijini Dar es
salaam Oktoba 8, 2012. Wejumbe hao ni viongoazi wa vyama mbali mbali vya
siasa nchini.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Oct
10
Mwenyekiti wa Tume Ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora Jaji Kiongozi
(Mstaafu) Amiri Ramadhan Manento (katikati) akiongea na waandishi wa
habari hawapo pichani jijini Dar es Salaam leo wakati akitoa muhtasari
wa taarifa ya Uchunguzi wa Tume yake kuhusu tukio lililopelekea kifo
cha Daudi Mwangosi kilichokea Septemba 2, 2012 kijijini Nyololo. Wilaya
ya Mufindi Mkoani Iringa. (Kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya
Haki za Binadamu na Utawala Bora Mahfoudha.A. Hamid na (kulia) ni
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Tume hiyo Florida
Kazora.
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Mahfoudha.A. Hamid akizungumza wakati tume hiyo ilipokutana na
waandishi wa habari leo
Baadhi ya waandishi wa habari walioshiriki kwenye mkutano huo.Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
No comments:
Post a Comment